HACREF
FINANCE LIMITED ni kampuni inayokua kwa haraka sana kutokana na kutoa huduma
zinazogusa jamii. Kampuni imeonekana ya tofauti kutokana na kutoa huduma nzuri
kwa Mkopo. Huduma za mkopo huiwezesha jamii kufurahia maisha leo ambayo
wangeyaishi miaka mingi ijayo. Ni kutokana na umuhim wa kujali jamii, kampuni
hii imeonekana kuwa ni TUMAINI LA JAMII.
Kampuni ina ungozi imara, ina wafanyakazi wenye weledi katika fani
mbalimbali na wale ambao wana moyo wa kuendeleza tumaini kwa jamii.
Ili kutoa mikopo endelevu kampuni inaamini kuwa inapaswa kufanya yafuatayo:
1. Kushauri wafanyabiashara - Kwa kutoa ushauri wa Biashara
2. Kutafuta tekinolojia rahisi kwaajili ya kuongeza uzarishaji
3. kutafuta mitaji ya uwekezaji kabla ya kutoa mikopo kwa wateja
3. Kutoa mafunzo juu ya usimamizi wa masoko, wafanyakazi, pesa, mali na biashara kwa ujumla
huduma zetu zinaonekana katika bidhaa mbalimbali mfano:
(i) Mikopo
(ii) Ushauri wa Biashara
(iii) Usajili wa Kampuni na NGOs
(iv) China-Tanzania Techno Link
(V) MSV Entrepreneurs N.K
Ili kutoa mikopo endelevu kampuni inaamini kuwa inapaswa kufanya yafuatayo:
1. Kushauri wafanyabiashara - Kwa kutoa ushauri wa Biashara
2. Kutafuta tekinolojia rahisi kwaajili ya kuongeza uzarishaji
3. kutafuta mitaji ya uwekezaji kabla ya kutoa mikopo kwa wateja
3. Kutoa mafunzo juu ya usimamizi wa masoko, wafanyakazi, pesa, mali na biashara kwa ujumla
huduma zetu zinaonekana katika bidhaa mbalimbali mfano:
(i) Mikopo
(ii) Ushauri wa Biashara
(iii) Usajili wa Kampuni na NGOs
(iv) China-Tanzania Techno Link
(V) MSV Entrepreneurs N.K
No comments:
Post a Comment